ARSENAL wamemasajili kiungo Krystian Bielik kutoka klabu ya Legia Warsaw ya Poland kwa pauni milioni 2.4. Bielik, 17, ambaye alifanya vipimo vya afya wiki iliyopita, alihamia Legia akitokea Lech Poznan mwaka jana na amecheza mara sita msimu huu. Arsenal wamesema mkataba huo "utakamilika baada ya mchakato wa kawaida kumalizika". Bielik, ambaye aliwahi kuichezea timu ya taifa ya Poland ya chini ya miaka 16, anaweza kucheza kama kiungo wa kati, au beki wa kati.
Wednesday, January 21, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa ...
-
Angel Kagame binti wa Rais Kagame mwenye miaka 25, katika mkutano wa Rais Barack Obama alikuwa kivutio kwa w...
-
MSHINDI wa tuzo za BET "International Act" Africa, Davido na nominee Tiwa Savage leo hii wamehojiwa na kipindi cha TV cha netw...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dk. Ahamada...
-
Na EMMY MWAIPOPO MWILI wa aliyekuwa spika wa bunge, Samuel Sitta unatarajia kuwasili nchini siku ya Alhamis ukitokea nchini Ujerumani...
0 comments:
Post a Comment