Kufuatia kujitoa kwenye mkataba wa muda mrefu na record lebel ya Cash Money, Jay Sean ameanza kwa kutoa mixtape kabla ya album mpya. Mixtape imepewa jina The Mistress II na ilitoka mwezi wa kumi, Hii video ya wimbo kutoka kwenye mixtape hii unaitwa “Jameson.”
Saturday, December 27, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
MTANDAO wa Swahili Worldplanet unaarifu kuwa, picha chafu zinazodaiwa kuwa za star wa filamu nchini Shamsa Ford na mbunge wa Chadema, ...
-
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema chama chake kimepata unafuu mkubwa baada ya kuondoka kwa kada wake m...
-
IDADI ya watu wanaoendelea kutajwa kupata tiba ya Ebola, imezidi kuongezeka, leo pia shirika la utangazaji Sky News wameripoti kuhus...
-
MCHEZAJI Cristiano Ronaldo amesaini mkataba mpya na klabu yake ya Real Madrid utakaomalizika Mwaka 2021, amesema anaweza kuendelea kuc...







0 comments:
Post a Comment