Teaser ya wimbo wa msanii kinara katika muziki wa Bongo "Dimond platnumz" imevunja rekodi ya kupakuliwa katika mitandao mara nyingi zaidi, kipande hicho ni cha sekunde 21 kinachoonyesha kuwa hiyo nyimbo itakuwa bora kabisa endapo itatotelewa mwaka huu au ujao...hebu iangalie halafu utoe maneno yako bila unafki wala ushabiki...mi naanza kusema hili litakuwa BONGE LA HIT ....
Friday, November 14, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
STAA wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimape...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII. ********** TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA...
-
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa, chanjo ya ugonjwa wa Ebola inaweza kuwa tayari kwa kiasi kikubwa mwishoni mwa mwaka huu ili...
-
MMOJA kati ya viongozi wa juu wa Tip Top Connection, Madee amedai rapa Dogo Janja bado hajakuwa kwa kuweza kujisimamia katika muziki wak...







0 comments:
Post a Comment