Tuesday, November 18, 2014

MRISHO NGASSA AFUNGA NDOA YA PILI NA LADHIA JIJINI DAR *PICHZ*

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa baada ya kufunga ndoa na Ladhia Mngazija Tegeta mjini Dar es Salaam, Tarehe 16/11/2014.
Hii ni ndoa ya pili kwa mchezaji huyo wa Yanga SC, ambaye anaoa baada ya kuachana na mkewe wa awali.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI