Tuesday, October 7, 2014

WATOTO PACHA WALIOTENGANISHWA INDIA SASA WAANZA KUTEMBEA

 
Watoto mapacha Eliud (kushoto) na mwenzake Elikana,  wakiwa nyumbani kwao katika kijiji cha Kasumulu wilayani Kyela, Mkoani Mbeya juzi. Watoto hao waliozaliwa wameungana walifanyiwa upasuaji nchini India Desemba 16 mwaka jana, upasuaji uliochukua saa 12 ulioghalimu kiasi cha sh100milioni. Elikana ameanza kuetembea huku mwenzake, akiwa katika hatua ya kutambaa.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI