Watoto mapacha Eliud (kushoto) na mwenzake Elikana, wakiwa nyumbani
kwao katika kijiji cha Kasumulu wilayani Kyela, Mkoani Mbeya juzi.
Watoto hao waliozaliwa
wameungana walifanyiwa upasuaji nchini India
Desemba 16 mwaka jana, upasuaji uliochukua saa 12 ulioghalimu kiasi cha
sh100milioni. Elikana ameanza kuetembea huku mwenzake, akiwa katika
hatua ya kutambaa.
Tuesday, October 7, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
WATU mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya jijini New York katika gwaride la mwaka kuadhimisha tamasha la 41 la kiutamaduni maarufu ka...
-
Mwenyekiti wa chama cha democrasia na maendeleo chadema mh FREMAN MBOWE akizindua kikosi maalimu cha ulinzi katika jimbo la kawe maarufu ...
-
Chanel Tapper, mwanafunzi wa California nchini Marekani anashika rekodi ya kuwa na ulimi mrefu kuliko dunia nzima. Ulimi wake una urefu ...
0 comments:
Post a Comment