Hatimaye
Diamond Platnumz amefunguka kuhusu tetesi zinazoendelea kuwa ameachana
na
Wema Sepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoa na Meninah Diamond
alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa.
“Unajua hizi habari kiukweli zimekuwa zikinihuzunisha sana,” amesema
msanii huyo. “Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendi kuzunguzia mambo ya
rumors, siju magazeti huwa sipendi kuzungumzia kabisa, kwa kuwa najua
kabisa siwezi kubishana na media kwakuwa media ni kubwa, maana najua
utaongea na huyu na yule siku ya siku utagombana na watu. Ndio maana
huwa nakaa kimya,” ameongeza “Kusema ukweli hili suala limekuwa
likiniumiza ‘eti sijui kuna vikao vya harusi mie nataka kumuoa Meninah’
Kusema ukweli sina mahusiano na Meninah. Kila mtu anajua mie nina
mahisiano Wema. Wema ndo mpenzi wangu, ila wakati mwingine nakuwa
naelewa ile inakuwa ni trick ya kibiashara. Mtu anajua hata nikimuandika
vipi ‘Diamond sijui kafanya nini watu hawawezi kumchukia! Kwahiyo
wanaamua kunitengenezea chuki na maadui kwa watu kuwa nipo na mwanamke
wangu halafu namsaliti.”Meninah “Unajua kitendo hicho hatamaye
kinaniudhi naona mtu yupo na mpenzi wake halafu anamsaliti. Najua hicho
ni kitendo ambacho kila mtu hakimpendezi. Kwahiyo wanaamua
kunitengenezea chuki na maadui kupitia njia hiyo. Labda wana wasanii
wao, sasa wanaona tukiingia kwa njia hii tutaweza kuamharibia Diamond.
Ndioa siku zote nimekuwa kimya tu ila sina mahusiano na Meninah. Mie
nikiwa na mtu huwa sifichi naweka wazi kabisa. Hata kama leo nimeachana
na Wema nasema tu, why nifiche? Mie katika mambo yangu huwa simuogopi
mtu kama ningekuwa nataka kuoa basi ninge weka wazi why nifiche??
MSIMAMO WANGU➡1.SITAONGELEA TETESI ZA HAYA MAHUSIANO SBB MAPENZI
HAYAINGILIWI..2.SITAPIGA KURA WALA SITAPROMOTE UPIGAJI KURA KWA DAI MPK
WEMA ATAKAPOFUNGUKA! 3.UKIMKASHFU WEMA SITAKUACHA!!�� From ma bebe @usipojipangantakupanga
Monday, September 29, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
MISS TANZANIA wawili, Happiness Millen Magese (2001) na Angela Damas (2002), wamejitokeza na kujitangaza wazi kuwa ni miongoni mwa mamil...
-
MKALI wa KELE KELE LOVE-Tiwa Savage, na Meneja Wake, TEEBILLZ, kwani wameweza kutimiza ndoto yao ya muda mrefu, kufunga Ndoa. Kama ...
-
HII imetokea katika Mahakama ya Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya ambapo kesi ya Sabina Njeri mwenye umri wa miaka 23 ambaye anakabiliwa n...
0 comments:
Post a Comment