Saturday, August 9, 2014

YEMI ALADE AFUNIKA KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014

 Akiimba 'Johnny'
Mashabiki wakifurahia burudani ya mwanadada huyo.
STAA kutoka nchini Nigeria, Yemi Alade akipiga shoo usiku wa kuamkia leo katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.
  Akiimba 'Johnny'

Picha: GP

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI