Saturday, August 9, 2014

"NIMEFURAHI KUPIGWA KOFI ZITO NA MTOTO WA RAIS OBAMA" ASEMA MOTOTO MMOJA HUKO MAREKANI

MTOTO wa rais wa kike wa Marekani, Malia Obama mwenye umri wa miaka 16 alimpiga/alimgonga kwa bahati mbaya msichana aliyefahamika kwa jina la Bridget Truskey walipokuwa katika tamasha kubwa la muziki la Lollapalooza nchini Marekani.
Msichana huyo amewashangaza watu baada ya kuonesha kufurahishwa sana na tukio hilo kutokana na umaarufu wa Malia Obama.
Truskey ametweet sentensi kadhaa kuonesha furaha yake huku maelezo yakionesha kuwa haamini kilichotokea.
“I got (accidentally) kicked by Malia Obama today at Lollapalooza. No lie. Malia. Obama. It was awesome. #lollapalooza.”

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI