Wednesday, July 30, 2014

POMBE SIO MAJI: TAZAMA KILICHOMKUTA DADA HUYU BAADA YA KILEVI KUMKOLEA KICHWANI


DADA huyu baada ya kubugia mitungi alishindwa kutembea kuelekea home, na kuamua kulala kiroho safi barabarani, hii ni aibu sana kwa kina dada, kunywa kidogo bhana kwani na kesho si ni siku, sio unapiga mitungi kama hakuna kesho bhana!!!
---KUMBUKA---
*Unywaji pombe kupita kiasi waweza leta madhara katika afya yako na Haiuzwi kwa walio na umri chini ya miaka 18*

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI