NI nadra sana kuona wanyama wanaosifika kwa kuwala wenzao mbugani kuonekana wakipambana, katika picha hizi zilizopigwa na mtaalam wa masuala ya teknolojia kutoka San Francisco nchini Marekani, Richard Chew aliyekuwa kwenye mapumziko na mke wake kwenye mbuga ya Maasai Mara iliyopo Kenya aliweza kunasa tukio la mamba akipambana na Simba mwenye njaa wakigombea mzoga wa kiboko aliyekufa, nisikuchoshe, hebu tiririka nazo mwenyewe…..!!!!
Wednesday, July 30, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
JENGO lililopo ndani ya Msikiti wa Soweto Limeteketea kwa moto Mapema leo chanzo hakijafahamika bado Moto huo umeteketeza nyu...
-
“Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,” anasema Happy katika mahojiano na g...
-
MAHAKAMA ya juu nchini Misri imeamuru kurudiwa kwa kesi ya waandishi watatu wa Al- Jazeera waliohukumiwa kwa madai ya kuhusika na kundi ...
-
Mkuu wa majeshi ya Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo Mkuu wa majeshi nchini Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo ametoa wito k...






0 comments:
Post a Comment