NI nadra sana kuona wanyama wanaosifika kwa kuwala wenzao mbugani kuonekana wakipambana, katika picha hizi zilizopigwa na mtaalam wa masuala ya teknolojia kutoka San Francisco nchini Marekani, Richard Chew aliyekuwa kwenye mapumziko na mke wake kwenye mbuga ya Maasai Mara iliyopo Kenya aliweza kunasa tukio la mamba akipambana na Simba mwenye njaa wakigombea mzoga wa kiboko aliyekufa, nisikuchoshe, hebu tiririka nazo mwenyewe…..!!!!
Wednesday, July 30, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
WATU mbalimbali wamejitokeza katika mitaa ya jijini New York katika gwaride la mwaka kuadhimisha tamasha la 41 la kiutamaduni maarufu ka...
-
Mwenyekiti wa chama cha democrasia na maendeleo chadema mh FREMAN MBOWE akizindua kikosi maalimu cha ulinzi katika jimbo la kawe maarufu ...
-
Chanel Tapper, mwanafunzi wa California nchini Marekani anashika rekodi ya kuwa na ulimi mrefu kuliko dunia nzima. Ulimi wake una urefu ...
0 comments:
Post a Comment