Monday, June 16, 2014

WASANII WALIPOKULA CHAKULA CHA JIONI IKULU NDOGO DODOMA NA RAIS KIKWETE

 Msanii Jacob Steven 'JB' akiteta na Rais Jakaya Kikwete
 Rais Kikwete akionge na Ommy Dimpoz alipompa kazi yake
 Ommy Dimpoz akichukua chakula.
 Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe
Masuala ya msosi nayo yakahusika.
ULIMWENGU WA HABARI tunasemaaaa!!!
Safi sana Mr. Prezidenti kwa hili lakini isiishie hapa tu, iendelee mpaka katika kupigania haki na stahiki zao ili nao wafaidike na kazi za mikono yao.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI