- Picha na Habari
- Na Frank Mavura, Dar es salaam
- ******************
Hilo limeendelea kujidhihirisha katika ajali iliyotokea katika barabara ya Bagamoyo iliyoua watu sita na kujeruhi wengine 16.
Ajali hii imetokea majira ya mchana ambapo imehusisha jumla ya magari manne ikiwemo daladala mbili, gari ndogo moja na lori, iliyotokea eneo la Makongo karibu na hospitali ya Lugalo Dar es salaam ambapo mashuhuda wamesema ajali hiyo imekuwa ni miongoni mwa ajali mbaya kutokea katika mwaka huu, huku wakilaumu kuwa imesababishwa na uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta kwa kupita upande ambao sio wake.
Daladala iliyopata ajali na kusababisha vifo vya watu sita na wengine kujeruhiwa
Sunday, June 22, 2014
RIPOTI KAMILI: AJALI YAUA WATU SITA PAPO HAPO NA KUJERUHI WENGINE 16 BARABARA YA BAGAMOYO
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe na Capt. William Silaa (baba yake Jerry Slaa), wamethibitika kupoteza maisha kwa ajali ya hel...
-
KATIKA Exclusive interview na msanii Gabu aka Buganya Wa P Unit kuhusu tetesi za kuvunjika kwa kundi lao mwezi huu, Gabu amesema “Hiz...
















0 comments:
Post a Comment