- Picha na Habari
- Na Frank Mavura, Dar es salaam
- ******************
Hilo limeendelea kujidhihirisha katika ajali iliyotokea katika barabara ya Bagamoyo iliyoua watu sita na kujeruhi wengine 16.
Ajali hii imetokea majira ya mchana ambapo imehusisha jumla ya magari manne ikiwemo daladala mbili, gari ndogo moja na lori, iliyotokea eneo la Makongo karibu na hospitali ya Lugalo Dar es salaam ambapo mashuhuda wamesema ajali hiyo imekuwa ni miongoni mwa ajali mbaya kutokea katika mwaka huu, huku wakilaumu kuwa imesababishwa na uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta kwa kupita upande ambao sio wake.
Daladala iliyopata ajali na kusababisha vifo vya watu sita na wengine kujeruhiwa
Sunday, June 22, 2014
RIPOTI KAMILI: AJALI YAUA WATU SITA PAPO HAPO NA KUJERUHI WENGINE 16 BARABARA YA BAGAMOYO
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Balozi Mhandisi John Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kabl...
-
Mbwana Samatta akiwa na Ndidi katika timu ya KRC Genk Nahodha wa timu ya taifa Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ambaye anacheza k...
















0 comments:
Post a Comment