- Picha na Habari
- Na Frank Mavura, Dar es salaam
- ******************
Hilo limeendelea kujidhihirisha katika ajali iliyotokea katika barabara ya Bagamoyo iliyoua watu sita na kujeruhi wengine 16.
Ajali hii imetokea majira ya mchana ambapo imehusisha jumla ya magari manne ikiwemo daladala mbili, gari ndogo moja na lori, iliyotokea eneo la Makongo karibu na hospitali ya Lugalo Dar es salaam ambapo mashuhuda wamesema ajali hiyo imekuwa ni miongoni mwa ajali mbaya kutokea katika mwaka huu, huku wakilaumu kuwa imesababishwa na uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta kwa kupita upande ambao sio wake.
Daladala iliyopata ajali na kusababisha vifo vya watu sita na wengine kujeruhiwa
Sunday, June 22, 2014
RIPOTI KAMILI: AJALI YAUA WATU SITA PAPO HAPO NA KUJERUHI WENGINE 16 BARABARA YA BAGAMOYO
6:41 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
HII ni kwako mpenzi mtazamaji na msomaji wa mtandao huu wa ULIMWENGU WA HABARI , leo tunakupa picha chache kutoka Kigali nchini Rwanda, ...
-
Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ akifanya yake stejini kabla ya kuachishwa kazi kwa ulevi uliokithi...
-
HAYUMO katika orodha ya wanamuziki 10 bora waliotengeneza fedha nyingi kwa mwaka 2014, lakini ukweli kwamba amemfunika Jay-Z katika orod...
-
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Villag...
-
RAIS Magufuli amemhakikisha mfanyabiashara wa Nigeria, Aliko Dangote kuwa itamwekea mazingira mazuri ya uwekezaji ili kuhakikisha kiwand...
















0 comments:
Post a Comment