Tuesday, May 27, 2014

PICHA ZA KWANZA KABISA: NI SIMANZI MSIBA WA MSANII RECHO

Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo.
Mume wa marehemu Recho, George Saguda,akiwa na simanzi nzito…!

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI