Sunday, May 18, 2014

MTAZAME MWANAMKE MWENYE MIGUU MIREFU KULIKO WOTE DUNIANI… ANASHIKILIA TUZO TOKA 2003 (MAPICHA)


Kitabu cha rekodi cha Guinness World Records kinasema mwanamke kutoka Urusi aliyeshikilia rekodi ya kuwa na miguu mirefu zaidi bado anashikilia record hii. 
Svetlana Pankratova anamigu yenye sentimita 132. Aliweka rekodi hii 8 July 2003.



 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI