Tuesday, April 15, 2014

AJALI MBAYA YA BODA BODA YATOKEA NJIA YA PANDA VETA, MBEYA

Dereva wa bodaboda akiwa amelala chini baada ya kugongwa na gari ndogo maeneo  njia panda ya veta.
Dereva bodaboda akisaidiwa na wasamaria wema kumuinua na kumpeleka hospitali




Gari lililomgonga ni hili hapa




0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI