HAKIKA kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kauli mbiu ama unawezaita ni mikakati kabambe ya kumuinua mwanamke katika nyanja zote; katika jamii, siasa na zaidi kiuchumi.
Kamwe palipo na ukweli uongo hujitenga kwani ni ukweli usiopingika jamii nyingi za kiafrika zimetawaliwa sana na mfumo dume ambapo umekuwa ukitawala katika nyanja hizo zilizotajwa hapo juu.
Mfumo huo kwa sasa unapungua kwa kiasi kikubwa na ni imani ya waafrika na watanzania wengi mfumo huo upotee na uishe kabisa kwani mwanamke hatokuwa kiumbe dhaifu mbele ya mwanaume na haki, usawa, amani na upendo vitatawala kitu kitakacholeta maendeleo.
TAFAKARI: Ni je wanawake wenyewe wanapendana na kujaliana?
Friday, March 7, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
JENGO lililopo ndani ya Msikiti wa Soweto Limeteketea kwa moto Mapema leo chanzo hakijafahamika bado Moto huo umeteketeza nyu...
-
Gwiji la Muziki Wa Kizazi Kipya, Roma Mkatoliki akiwapagawisha masha biki waliofika katika Ufukwe wa Bahari Coco Beach kushuhudia Tamas...
-
BAADA ya kuchoshwa na maneno ya watu kuhusu maisha yake binafsi, staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameamua kuweka wazi msimamo wa...







0 comments:
Post a Comment