HAKIKA kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kauli mbiu ama unawezaita ni mikakati kabambe ya kumuinua mwanamke katika nyanja zote; katika jamii, siasa na zaidi kiuchumi.
Kamwe palipo na ukweli uongo hujitenga kwani ni ukweli usiopingika jamii nyingi za kiafrika zimetawaliwa sana na mfumo dume ambapo umekuwa ukitawala katika nyanja hizo zilizotajwa hapo juu.
Mfumo huo kwa sasa unapungua kwa kiasi kikubwa na ni imani ya waafrika na watanzania wengi mfumo huo upotee na uishe kabisa kwani mwanamke hatokuwa kiumbe dhaifu mbele ya mwanaume na haki, usawa, amani na upendo vitatawala kitu kitakacholeta maendeleo.
TAFAKARI: Ni je wanawake wenyewe wanapendana na kujaliana?
Friday, March 7, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Wema Sepetu na mama' ake! Wema! Mboni Masimba wa Mboni Talk Show akishow love! Mpango mzima ulikua hapa! ...
-
WANASEMA uzuri wa mtu au kitu unatokana na kila mtu anavyokiona au kumuona mtu. Huyu ni mwanamke aliyeshikilia rekodi kwa mwaka 2...
-
POSITION; SENIOR MANAGEMENT ADVISOR Chemonics seeks a Senior Management Advisor for a field office in Dar es Salaam, Tanzania. Reportin...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...







0 comments:
Post a Comment