HAKIKA kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kauli mbiu ama unawezaita ni mikakati kabambe ya kumuinua mwanamke katika nyanja zote; katika jamii, siasa na zaidi kiuchumi.
Kamwe palipo na ukweli uongo hujitenga kwani ni ukweli usiopingika jamii nyingi za kiafrika zimetawaliwa sana na mfumo dume ambapo umekuwa ukitawala katika nyanja hizo zilizotajwa hapo juu.
Mfumo huo kwa sasa unapungua kwa kiasi kikubwa na ni imani ya waafrika na watanzania wengi mfumo huo upotee na uishe kabisa kwani mwanamke hatokuwa kiumbe dhaifu mbele ya mwanaume na haki, usawa, amani na upendo vitatawala kitu kitakacholeta maendeleo.
TAFAKARI: Ni je wanawake wenyewe wanapendana na kujaliana?
Friday, March 7, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
ZILE picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo, Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Eds...
-
Katibu Mkuu Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumpongeza Balozi mpya wa Tanzania nchini Malay...
-
Himaya ya Mavin Records imemsanisha msanii heavy weight, Iyanya. Mkali huyo anaungana na orodha iliyoshiba ya Mavin inayojumisha wakali k...
-
THE Weeknd ameendelea kufanya vizuri kwenye chati za Billboard. Muimbaji huyo amejiwekea rekodi yake ya kuwa msanii wa tano kukaa kwa ...
0 comments:
Post a Comment