NOVEMBER 19, 2016 Kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Ester Bulaya iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda dhidi ya aliyekua mgombea wa CCM Stephen Wasira ilitolewa hukumu yake ambapo Mahakamu Kuu ilimpa ushindi na kumthibitisha Ester Bulaya kuwa Mbunge halali.
Mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo Ester Bulaya amezungumza kuelezea jinsi alivyoyapokea maamuzi ya Mahakama Kuu chini ya Jaji Noel Chocha juu ya kesi ya kupinga matokeo iliyofunguliwa na wapiga kura wanne wa mgombea Stephen Wasira.
“Kiukweli namshukuru sana Mungu, na wananchi wa jimbo la Bunda Mjini kwasababu walishaamua na mahakama imeamua lakini kwa uvumilivu wao na hivi ninavyozungumza kuna watu wametoka Musoma kwa miguu mpaka Bunda wakishangilia ushindi wa Mbunge wao” – Ester Bullaya
Saturday, November 19, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Joy Williams miaka 23 Doctor Sompob Sansiri aliyemfanyia upasuaji anadai ujuzi huo aliupata U.S NA ANAFANYA BKAZI HIYO TANGU 1998...
-
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Rwanda jana
-
WANAJESHI wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na hatia huko Nigeria linaelezwa kuanza kukimbia msitu baada ya n...
-
TANZANIA, Taifa Stars imeshinda mechi ya pili mfululizo nyumbani chini ya kocha mpya, Mholanzi Mart Nooij baada ya kuilaza 1-0 Malawi ka...







0 comments:
Post a Comment