Mtu wangu nimefanikiwa kupita katika Jiji La Moshi kipindi hiki cha siasa kumekuwa na harakati nyingi za siasa ambazo zimefanya mji huu uchangamke zaidi ya ulivyokuwa kabla ya hapo,hapa nimekuwekea Taswira mbalimbali ya picha jinsi maswala ya siasa yalivyouteka mji wa moshi kwa sasa,ukiingia tu Mji huu kwa sasa lazima ukutane na mabango,Bendera, pamoja na vijana wa vyama mbalimbali wakiwa na hamasa ya uchaguzi tofauti na miaka ya awali,unaweza kufaidi Picha za matukio yote hapa mdau
Wednesday, September 23, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
1. Wema Sepetu Wakati mwingine si kitu rahisi kupima ushawishi lakini tutaangalia ni wazo mawazo gani ya mtu, mifano gani ya mtu, kipa...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Profesa Jakaya Kikwete ametoa namba yake maalumu kwa wananchi waweze kumtumia ujumbe wa SMS ...
-
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akijibu Hoja za Wabunge kabla ya Bunge kukaa na kupiga kura kuamua Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2014-01...
-
BEKI wa kimataifa wa Argentina Marcos Rojo ambaye anaitumikia klabu ya Manchester United atakaa nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki 1...






0 comments:
Post a Comment