Mtu wangu nimefanikiwa kupita katika Jiji La Moshi kipindi hiki cha siasa kumekuwa na harakati nyingi za siasa ambazo zimefanya mji huu uchangamke zaidi ya ulivyokuwa kabla ya hapo,hapa nimekuwekea Taswira mbalimbali ya picha jinsi maswala ya siasa yalivyouteka mji wa moshi kwa sasa,ukiingia tu Mji huu kwa sasa lazima ukutane na mabango,Bendera, pamoja na vijana wa vyama mbalimbali wakiwa na hamasa ya uchaguzi tofauti na miaka ya awali,unaweza kufaidi Picha za matukio yote hapa mdau
Wednesday, September 23, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
WANANCHI wa kijiji cha jamvini Ndagoni Wilaya ya Cheke Chake, wakishiriki upandaji wa miti aina ya mikoko (Mikandaa) pamoja na Naibu K...
-
1. NISHA JABU 2. FLAVIANA MATATA 3. NELLY KAMWELU 4. JOKATE MWEGELO 5. NANCY SUMBELARI 6. BELINA MGENI 7. VANESSA M...
-
Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa Maj...
-
MSICHANA mhindi Sarika Patel kutoka familia tajiri na Timothy Khamala mbukusu kutoka familia maskini kutoka Magharibi mwa Kenya kuoana? w...
-
VURUGU zimeibuka baina ya mafundi gereji katika eneo la Tegeta magereji ambapo polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi muda mfup...






0 comments:
Post a Comment