Saturday, August 15, 2015

MAADHIMISHO YA MIAKA 69 YA UHURU WA INDIA UBALOZI MDOGO MIGOMBANI, ZANZIBAR

Balozi Mdogo wa India Zanzibar Balozi Satendar Kumar akipandisaha bendera kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India zilizofanyika katika viwanja vya Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Balozi Satendar Kumar akitowa heshima baanda ya kupandisaha bendera wakati ukiimbwa wimbo wa taifa wa India. wakati wa kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India zilizofanyika katika viwanja vya Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Balozi Satendar Kumar akitowa heshima baanda ya kupandisaha bendera wakati ukiimbwa wimbo wa taifa wa India. wakati wa kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India zilizofanyika katika viwanja vya Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Balozi Satendar Kumar akiwahutubia wananchi wanaoishi Zanzibar wenye asili ya India wakati wa kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India zilizofanyika katika viwanja vya Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Balozi Satendar Kumar akiwahutubia wananchi wanaoishi Zanzibar wenye asili ya India wakati wa kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India zilizofanyika katika viwanja vya Ubalozi Mdogo wa India Migombani Zanzibar. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Satendar Kumar akisalimiana na Mbunge Mtarajiwa wa Jimbo la Chwaka Baguwani Mshamba, wakiwa katika viwanja vya ubalozi migombani wakati wa hafla hiyo baada ya kumaliza kutowa hutuba maalum ya kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India. 
Balozi Mdogo wa India Zanzibar Satendar Kumar akisalimiana na Wananchi waliohudhuria hafla hiyo baada ya kumaliza kutowa hutuba maalum ya kuadhimisha miaka 69 ya Uhuru wa India. 

0 comments:

Post a Comment