Wasanii wengi wa Bongo Flava wameendelea kujiingiza kwenye biashara, 255 leo imepiga story na msanii Ruby ambae amesema anapenda kuwa designe, anatarajia kuja na kitu kinachoitwa ‘Kilemba cha Ruby’ ambayo inahusuana na mambo ya fashion, idea ambayo imekuja kutokana na kupenda kudesigne vilemba toka akiwa mdogo ingawa kipaji chake kikubwa ni kuimba.
Friday, March 20, 2015
MWANDISHI WA KITABU CHA MTEMI MIRAMBO, JUMA NATURE KUGOMBEA UBUNGE? NA RUBY KAANZA BIASHARA? #255 *AUDIO*
5:57 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
KUPIGA punyeto kwa muda mrefu ni moja kati ya vyanzo vikuu vya tatizo la la ukosefu wa nguvu za kiume. Asilimia kubwa ya vijana wenye ta...
-
RAIS Mteule wa Marekani Donald Trump amepanga kufuta bajeti ya ununuzi wa ndege mpya ya Air Force One ambayo hutumiwa na marais wa nchi ...
-
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Rwekaza Mukandala amekanusha taarifa zilizozagaa zinazodai kuwa msanii wa Bong...
-
Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya...
-
JARIDA la Forbes limetoa list ya mastaa 10 wa kiume ambao wamelipwa pesa nyingi zaidi kwenye kazi zao za filamu. 1 Robert Downey Jr –...
0 comments:
Post a Comment