Wasanii wengi wa Bongo Flava wameendelea kujiingiza kwenye biashara, 255 leo imepiga story na msanii Ruby ambae amesema anapenda kuwa designe, anatarajia kuja na kitu kinachoitwa ‘Kilemba cha Ruby’ ambayo inahusuana na mambo ya fashion, idea ambayo imekuja kutokana na kupenda kudesigne vilemba toka akiwa mdogo ingawa kipaji chake kikubwa ni kuimba.
Friday, March 20, 2015
MWANDISHI WA KITABU CHA MTEMI MIRAMBO, JUMA NATURE KUGOMBEA UBUNGE? NA RUBY KAANZA BIASHARA? #255 *AUDIO*
5:57 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
STAA wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimape...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII. ********** TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA...
-
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa, chanjo ya ugonjwa wa Ebola inaweza kuwa tayari kwa kiasi kikubwa mwishoni mwa mwaka huu ili...
-
MMOJA kati ya viongozi wa juu wa Tip Top Connection, Madee amedai rapa Dogo Janja bado hajakuwa kwa kuweza kujisimamia katika muziki wak...







0 comments:
Post a Comment