|
Fredwaa Kulia Akiwa na Issa Michuzi.
MTANGAZAJI anayejulikana almaarufu kama Fredwaa kutoka Radio Free Africa, sasa yu ndani ya mjengo wa Radio Clouds kipindi cha Power Breakfast, akiungana na Mbwiga, Gerald Hando, Boonge n.k. Mtangazaji huyu alijizolea umaarufu katika kipindi chake cha asubuhi pale RFA, ambapo pamoja na mambo mengine alikuwa na segment inaitwa Vodacom Top 5…
|
Saturday, January 3, 2015
MTANGAZAJI MAARUFU WA RADIO FREE AFRICA ATIMKIA CLOUDS FM *PICHA*
3:06 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
VALENTINE'S Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ...
-
Rostam Aziz M FANYABIASHARA maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demo...






0 comments:
Post a Comment