|
Fredwaa Kulia Akiwa na Issa Michuzi.
MTANGAZAJI anayejulikana almaarufu kama Fredwaa kutoka Radio Free Africa, sasa yu ndani ya mjengo wa Radio Clouds kipindi cha Power Breakfast, akiungana na Mbwiga, Gerald Hando, Boonge n.k. Mtangazaji huyu alijizolea umaarufu katika kipindi chake cha asubuhi pale RFA, ambapo pamoja na mambo mengine alikuwa na segment inaitwa Vodacom Top 5…
|
Saturday, January 3, 2015
MTANGAZAJI MAARUFU WA RADIO FREE AFRICA ATIMKIA CLOUDS FM *PICHA*
3:06 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
Mmoja kati ya wafungwa waliohamishwa kutoka Guantanamo Bay akisalimiana na ndugu zake MAREKANI imewaachia baadhi ya wafungwa wa Yemen ...
-
Q Chief akiwa na Mkurugugenzi wa Qs Mhonda Entertainment Msanii mkongwe wa muziki Q Chief amedai kuwa kuna mambo ambayo anakosea kwenye...
-
WACHEZA DANSI wa kike kwenye kumbi za usiku wapatao 50, wakiwa wamevalia vivazi vyeusi wamewaacha na mshangao wapita njia wakati wakiu...






0 comments:
Post a Comment