Saturday, January 3, 2015

ROMA MKATOLIKI, PROF. J WAFUNIKA VIBAYA TAMASHA LA VODACOM


Gwiji la Muziki Wa Kizazi Kipya, Roma Mkatoliki  akiwapagawisha masha biki waliofika katika Ufukwe wa Bahari Coco Beach kushuhudia Tamasha la Wazi la ”Vodacom Maisha ni Murua” lililo fanyika jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za mwaka mpya.

Gwiji la Muziki Wa Kizazi Kipya, Joseph Haule 'Profesa J'  akiwapagawisha masha biki waliofika katika Ufukwe wa Bahari Coco Beach kushuhudia Tamasha la Wazi la ”Vodacom Maisha ni Murua” lililo fanyika jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za mwaka mpya.

Wasanii wa kundi la Wanaume Famili wakishambulia jukwaa wakati wa tamkasha hilo.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI