Nafasi
ya muziki wa Diamond Platnumz imekua kubwa hasa kutokana na baadhi ya
Collabo ambazo tumezisikia kuwa kwa sasa wasanii wa nje ndiyo
wanaomuomba yeye afanye nao ni good news kutoka kwetu.
December
23 Ikulu ya Tanzania imemkaribisha Diamond Platnumz kwenda kupokea
shukrani baada ya kufanikiwa kuwakilisha taifa vizuri kwenye tuzo za
Channel o zilizofanyika South Africa wiki chache zilizopita.
Diamond
ni miongoni mwa wasanii ambao wamepata mualiko huo yeye pamoja na
Mshindi wa Big Brother Africa 2014 Idris ambae nae alialikwa kwenda
kuzungumza na Rais Jakaya Kikwete.
Kwenye
ujumbe ambao aaliutoa kwenye mtandao wa Instagram mshindi huyo Idris
ameandika>>’
I feel so honored after receiving a call from
PRESIDENT’S Office asking me to meet him tomorrow,HELL YES AM COMING
SIRE YESSSS,Even now.
Masaa machache baadae alipost ujumbe mwingine ambao ulisomeka>>’If you feel want me to tell the president something tweet me with #idristellmrpresident followed the message.
Masaa machache baadae alipost ujumbe mwingine ambao ulisomeka>>’If you feel want me to tell the president something tweet me with #idristellmrpresident followed the message.
Lets speak for change.
0 comments:
Post a Comment