Mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda akiwa na Jackie Cliff.
MBUNIFU wa
mavazi Bongo, Martin Kadinda, amesema kuwa baada ya kuishi bachela kwa
miaka mingi amepanga kuoa ‘ soon’ mwanamke ambaye ni mpenzi wake wa siku
nyingi ili kumaliza maneno ya watu kuwa hajiwezi.Akizungumza na Amani,
Kadinda alisema kuwa mwanamke anayemuoa si aliyezaa
naye mtoto bali ni mwanamke aliyekuwa naye kwenye uhusiano kwa muda
mrefu na tayari anatambua tabia zake hivyo hana shaka juu ya kuishi kwao
pamoja.
0 comments:
Post a Comment