Tuesday, October 14, 2014

KUTANA NA MTU ALIYEWAHI KWENDA MBINGUNI MARA 4, KAKUTANA NA "ELIYA, ABELI NA MUSA" NA KUCHORA RAMANI YA MBINGUNI

ANAITWA Sibusiso Mthembu, mwenye miaka 65, anaetokea south Afrika kwa  zulu-natatal anasema ni kweli ameenda mbinguni mara 4.
Nani ajuaye kama kweli alishawahi kwenda huko,but inawezekana ikawa kweli pia,mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1998 baaada ya hapo alienda pia mwaka 2004, 2006 na 2008 kwa mfululizo
Yote hayo yalianza mwaka 1993,alipotembelewa na mtu mweupe (inawezekana malaika) na akamwambia kwamba alikuwa anahitajika mbinguni.
Baada ya kutembea mbinguni alifanikiwa kuchora ramani ya huko na kutuletea sisi tusio na bahati hiyo ya kwenda mbinguni,ili tuweze kuamini ambacho ana kisema ..
Ramani ndiyo hiyo hapo chini
Hii ndio Ramani ya mbinguni iliyochorwa  na mthembu

0 comments:

Post a Comment