Wednesday, September 10, 2014

ANGALIA PICHA ZAIDI ZA MZOGA WA NYANGUMI MKUBWA ALIYEPATIKANA HUKO MTWARA

Mzoga wa samaki aina ya nyangumi umeibuka katika pwani ya Mtwara baada ya kukutwa ukielea bahari kuu na wavuvi. 
Mzoga huo ulivutwa hadi pwani kwa mshangao wa wananchi. 




0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI