

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania
(MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya ya Morogoro tayari kukagua na kufungua rasmi mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na
Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014
(MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya ya Morogoro tayari kukagua na kufungua rasmi mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na
Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa wataalamu walioshughulikia ufungwaji wa mtambo huowakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya ya Morogoro tayari kukagua na kufungua rasmi mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Morogoro mjini Mhe Aziz Aboud wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya ya Morogoro tayari kukagua na kufungua rasmi mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa wadau wa mji wa Morogoro wakati akiwasili eneo la Mambogo katika manispaa ya wilaya ya Morogoro tayari kukagua na kufungua rasmi mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Jengo la mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Baadhi ya wafanyakazi wa MORUWASA wakishangilia wakati wa sherehe za ufunguzi rasmi wa mradi mkubwa wa maji ambao umegharimiwa na Serikali ya Marekani kupitia MCA-Tanzania Agosti 22, 2014

Burudani wakati wa sherehe hizo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati wa sherehe hizo

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Joel Bendera akifungua pazia la sherehe hizo

Sehemu ya jengo la mradi huo

Kwa ubavuni

Afisa Mtendaji Mkuu wa MCA-Tanzania Mhe Bernard Mchomvu akitoa muhtasari wa mradi huo

Bango linajieleza

Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASCO Bw. Nicholaus Angumbwike akimshukuru Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakati wa sherehe hizo

Rais Kikwete akimpongeza Afisa Mtendaji Mkuu wa MCA-Tanzania Mhe Bernard Mchomvu kwa kufanuikisha mradi

Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASCO Bw. Nicholaus Angumbwike akiongea machache

Mama Salma Kikwete akimpongeza Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASCO Bw. Nicholaus Angumbwike

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher akisoma hotuba yake kwa Kiswahili wakati wa sherehe hizo

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhe Mbogo Futakamba akiongea wakati wa sherehe hizo na kumkaribisha Rais Kikwete aongee na wananchi

Rais Kikwete akizungumza na kuzindua rasmi mradi huo mkubwa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakifunua pazia kuzindua mradi huo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakifurahgia baada ya kuzindua mradi huo

Rais Kikwete akibofya kitufe kupiga king’ora kuzindua rasmi mradi huo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakikata utepe kuzindua mradi huo

Rais Kikwete akipata maelezo ya mradi toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASA

Sehemu ya mitambo ya mradi huo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakikagua mitambo ya mradi huo

Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASCO Bw. Nicholaus Angumbwike akiendelea kutoa maelezo ya mradi

Ukaguzi ukiendelea

Ukaguzi wa sehemu ya kusafishia maji






0 comments:
Post a Comment