Monday, August 18, 2014

KITENGE AONDOKA RADIO ONE


Maulid Kitenge.
MTANGAZAJI wa michezo wa Radio One Stereo, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katika radio hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Kupitia Twitter, Kitenge ameandika hivi:

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI