Video za Baadhi ya matukio ya ufunguzi wa serengeti fiesta 2014 jijini Mwanza Usiku wa tar 09/08 ndani ya uwanja wa Mpira wa CCM Kirumba, Historia imeandikwa na maelfu ya wakazi wa Mwanza walijitokeza kushuhudia burudani kutoka kwa wasanii wa Bongo Flava kama Diamond Platnumz, Madee, Chege Na Temba, Mkubwa na Wanae, Young Killer, Stamina, Young D, Edu Boy, K Style, Mr Blue, Nyandu Tozi, Makomando, Jokate ambaye alipiga show ya muziki kwa mara ya kwanza na wengine kibao.
Sunday, August 10, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Angel Kagame binti wa Rais Kagame mwenye miaka 25, katika mkutano wa Rais Barack Obama alikuwa kivutio kwa w...
-
MSHINDI wa tuzo za BET "International Act" Africa, Davido na nominee Tiwa Savage leo hii wamehojiwa na kipindi cha TV cha netw...
-
Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa ...
-
MWANAMKE mmoja nchini Indonesia amejifungua mjusi badala ya mtoto. Mwanamke huyo Debi Nubatonis, mwenye umri wa miaka 31, amean...
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema akitoa ufafanuzi wa masuala Kisheria kwa waandishi wa habari kuhusu mchakato wa upati...
0 comments:
Post a Comment