RIHANNA amzimikia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng. Ambapo kupitia Twitter, Rihanna alisema kuwa kutokana na mchezaji huyo anayekipiga pia FC Schalke 04, amejikuta mshabiki wa Ghana ilipokuwa ikicheza na Marekani.
Hata hivyo huenda Riri aliangushwa na timu hiyo baada ya kufungwa bao 2-1.
0 comments:
Post a Comment