Wednesday, June 4, 2014

MWILI WA MAREHEMU GEOGRE TYSON ULIVYOTOLEWA HOSPITAL YA AGHAKANI MPAKA NYUMBANI **MAPICHA**

IMG_4327
Ilikuwa majira ya saa kumi na moja alasiri katika hospital ya Aghakan ndipo mwili ulihamishiwa baada ya kutoka hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni. Pichani juu ni gari maalumu la kubeba maiti na hapa lilikuwa likisubiri mwili wa mpendwa wetu Geogre Tyson tayari kwa safari ya kuelekea nyumbani kwake Mbezi Beach Makonde.
IMG_4330
Pichani ni wafanyakazi wa TV1 wakiwa wanausubiri mwili kutolewa nje.
IMG_4333IMG_4336
Mpendwa wetu akiwa ametulia kwenye nyumba yake ya milele.
IMG_4340IMG_4344IMG_4345IMG_4348IMG_4352IMG_4354IMG_4360IMG_4364IMG_4367IMG_4374IMG_4375IMG_4379IMG_4381IMG_4382IMG_4384
Steve Nyerere pamoja na Rich Rich wakiwa kwenye nyuso za uzuni na kukubali kweli hawatomuona tena Tyson
IMG_4387
Anaitwa pasta Bob Makali kutoka Ocean Community Church alikuwa akiubiri neno la mungu na kuendesha sala hapa hapa nyumbani.
IMG_4391IMG_4394IMG_4395IMG_4397IMG_4399
Mtoto wa marehemu Tyson anaitwa Sonia pamoja na mama mtoto Monalisa wakiwa kwenye huzuni baada ya kuambiwa waende kumtizama mpendwa wao.
IMG_4402IMG_4407IMG_4410IMG_4415IMG_4416IMG_4420IMG_4421IMG_4423IMG_4424IMG_4427IMG_4428IMG_4431IMG_4436IMG_4437IMG_4438IMG_4439IMG_4440IMG_4441IMG_4451IMG_4452IMG_4454IMG_4456IMG_4457IMG_4458IMG_4461IMG_4462IMG_4463IMG_4465IMG_4466IMG_4468IMG_4470IMG_4472IMG_4476IMG_4478
Picha na DJ Choka

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI