Msanii mahiri wa komedi ambaye pia ni Mwimbaji wa Injili, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ akichati uku maombi yakiendelea
MSANII mahiri wa komedi ambaye pia ni Mwimbaji wa Injili, Emmanuel Mgaya ‘Masanja’ amenaswa akichati kwenye simu wakati viongozi wa dini wakishusha maombi mazito.Tukio hilo lililowachefua baadhi ya waumini lilitokea hivi karibuni katika Uwanja wa Shule ya Msingi Saba Saba, mjini Moro ambapo Masanja aliyekuwa meza kuu, wakati wenzake wakiongoza sala ya kufungua kongamano hilo, yeye alikuwa bize na simu.Monday, May 12, 2014
MMMH! KWELI USANII SI MCHEZO...MASANJA ADHIHIRISHA USANII WAKE...CAMERA ZAMNASA AKICHATI HUKU MAOMBI YAKIENDELEA
10:20 AM
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
RAPPER Kanye West ameamriwa na mahakama ya Los Angeles kufanya kazi za jamii kwa kipindi cha masaa 240 na kuwa chini ya kipindi cha mataza...
-
BAADA ya Amber Rose na Wiz Khalifa kuachana, E News imeripoti kuwa mastaa Jason Derulo na mpenzi wake Jordin Sparks wameachana. Ripot...
-
Jumuiya ya Kiislamu ya Muzdalifat(Muzdalifat Islamic Charitable) wakishirikiana na Taasisi ya I.H.H kutoka uturuki,wakichuna mbuzi wali...
-
NI wiki zinahesabika toka staa wa bongofleva Nay wa Mitego apate namba mpya ya gari lake inayoendana na ile ambayo amekua a...
-
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kushoto) akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo jana mjini Dodoma wakat...







0 comments:
Post a Comment