Friday, May 30, 2014

KINANA AITIKISA BABATI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wakati akihitimisha ziara yake katika wilaya ya Babati yenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali na kusikiliza kero za wananchi ili kuzipatia ufumbuzi, Mkutano huo umefanyika kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati ukihudhuriwa na maelfu ya Wananchi. PICHA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-BABATI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wakati akihitimisha ziara yake katika wilaya ya Babati yenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali na kusikiliza kero za wananchi ili kuzipatia ufumbuzi, Mkutano huo umefanyika kwenye uwanja wa Kwaraa mjini babati
 .
Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akiwahutubia wananchi kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati
Maelfu ya Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
Polisi wakiwa wameimarisha ulinzi

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI