Sunday, April 13, 2014

WAKIRSTO IRINGA NA JUMAPILI YA MATAWI

_MG_4112_bf9b0.png
_MG_4144_3c606.png
_MG_4167_1466b.png
_MG_4192_d61c9.png
_MG_4215_6ccbb.png
Na Edward Majura Sagini, Iringa.
JUMAPILI hii imekuwa ya aina yake, waumini wa madhehebu ya kikristo wamesherehekea siku ya matawi, Jumapili ya matawi inaadhimishwa jinsi Yesu Kristo alivyoingia Yerusalemu ili kufa na kufufuka kwa wokovu wa binadamu wote. 
Siku hiyo alishangiliwa na umati kwa kutumia matawi, ndiyo asili ya jina.
Kila kona katika manispaa ya iringa wanaonekana watu wakiwa na mitende kama si kwenye maandamano ya kuelekea ibadani basi wakitoka.
Habari na Mjengwa blog

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI