Jamaa Akifanya Yake |
Wakali wa kundi la mafikizolo usiku wa kuamkia leo wakipiga show ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, Watu walifurika ukumbini kuwashuhudia wakali hawa.
Mashabiki wa Mafikizolo wakiruka na kufurahia burudani kamili ambayo ilizikonga nyoyo zao, katika ukumbi wa Mlimani City, Usiku wa kuamkia leo.
Picha: GPL
0 comments:
Post a Comment