Wednesday, April 16, 2014

ANGALIA PICHA 4 ZA KIFARU KILICHOMNG'OA IDD AMIN DADAA KATIKA VITA YA TANZANIA NA UGANDA

Haya ni masalia ya kifaru kilichomng'oa IDD AMIN katika vita vya Kagera mnamo mwaka 1978-1979. Yakiwa eneo la Mutukula mpakani kabisa mwa Tanzania na Uganda. 




Picha kwa Hisani ya mdau Hilali Ruhundwa(Mwandishi wa habari)

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI