Staa wa muziki wa miondokop ya Bongofleva nchini Kassim Mganga amesema kuwa pamoja na maneno ambayo yamekuwa yakimlenga msanii Q Chila kuhusu kiwango chake kuwa si ndivyo, yeye binafsi ataendelea kumsaidia katika muziki.Kassim amesema kuwa huwezi kumzuia mtu kuzungumza kutokana na ukweli kwamba kila mtu anazungumza maneno ambayo hujui yupo katika hali gani, akiweka wazi kuwa Q Chilla ni ndugu yake na atazidi kumpa sapoti katika muziki wake.
Saturday, August 1, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
JENGO lililopo ndani ya Msikiti wa Soweto Limeteketea kwa moto Mapema leo chanzo hakijafahamika bado Moto huo umeteketeza nyu...
-
“Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,” anasema Happy katika mahojiano na g...
-
MAHAKAMA ya juu nchini Misri imeamuru kurudiwa kwa kesi ya waandishi watatu wa Al- Jazeera waliohukumiwa kwa madai ya kuhusika na kundi ...
-
Mkuu wa majeshi ya Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo Mkuu wa majeshi nchini Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo ametoa wito k...







0 comments:
Post a Comment