Staa wa muziki wa miondokop ya Bongofleva nchini Kassim Mganga amesema kuwa pamoja na maneno ambayo yamekuwa yakimlenga msanii Q Chila kuhusu kiwango chake kuwa si ndivyo, yeye binafsi ataendelea kumsaidia katika muziki.Kassim amesema kuwa huwezi kumzuia mtu kuzungumza kutokana na ukweli kwamba kila mtu anazungumza maneno ambayo hujui yupo katika hali gani, akiweka wazi kuwa Q Chilla ni ndugu yake na atazidi kumpa sapoti katika muziki wake.
Saturday, August 1, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
VALENTINE'S Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ...
-
Rostam Aziz M FANYABIASHARA maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demo...
-
Na Josephat Lukaza - Dodoma Hii ni baada ya washindi watatu kutoka Kanda ya Kati kupatikana katika shindano la kusaka vipaji vya kuigi...
-
VIDEO ya wimbo wa Diamond Platnumz aliomshirikisha Raymond, Salome, ndiyo video ya muziki iliyotazamwa zaidi kwenye mtandao wa Youtube n...







0 comments:
Post a Comment