Staa wa muziki wa miondokop ya Bongofleva nchini Kassim Mganga amesema kuwa pamoja na maneno ambayo yamekuwa yakimlenga msanii Q Chila kuhusu kiwango chake kuwa si ndivyo, yeye binafsi ataendelea kumsaidia katika muziki.Kassim amesema kuwa huwezi kumzuia mtu kuzungumza kutokana na ukweli kwamba kila mtu anazungumza maneno ambayo hujui yupo katika hali gani, akiweka wazi kuwa Q Chilla ni ndugu yake na atazidi kumpa sapoti katika muziki wake.
Saturday, August 1, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Samuel Afful na Yahaya Mohammed wakimwaga wino mbele ya Meneja Mkuu wa timu hiyo Abdul Mohamed. UONGOZI wa klabu ya Azam FC, umefa...
-
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetoa adhabu ya onyo kali na kukitaka kituo cha ITV kuomba radhi mara mbili mfululizo kweny...
-
TV 1 TANZANIA YAWA KIVUTIO KIKUBWA KATIKA TAMASHA LA NYAMA CHOMA FESTIVAL GRAND FINALE 2014 *PICHAZ*Banda la TV 1 Tanzania katika tamasha la Nyama Choma Festival Grand Finale 2014. MAANDALIZI…! Baadhi ya wachoma nyama wakiendelea ...







0 comments:
Post a Comment