Saturday, July 4, 2015

DIAMOND AZIDI KUVUNJA RECORD KWA KUSHIKA NO.1 KWENYE TOP 10 YA AFRIKA

Kwenye Top 10 ya muziki mkali wa Afrika ambayo hufanyika kila Alhamisi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho kina mamilioni ya Watazamaji Afrika (TRACE TV Urban) July 2, 2015 single ya ‘Nana’ Diamond ft Mr Flavour imeshika nafasi ya kwanza

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI