Saturday, January 24, 2015

WASHUHUDIE WAKALI WANAOSUMBUA KWA UMBO EAST AFRIKA, AGNESS MASOGANGE NA CORAZON KWAMBOKA WAKILA BATAZ (+18 YRS)

UNAAMBIWA mrembo hatareee toka Kenya , Corazon Kwamboka hivi sasa yupo Bongo akila gudytm na rafiki yake kutoka Tanzania, Agness Gerald. Agness “Masogange” alitua Bongo hivi karibuni akitokea Afrika kusini ambapo wengi wanahisi alikuja kwa ajili ya kula bata na Corazon ambaye ni entertainment lawyer.

Wawili hawa ambao wote ni maarufu sababu ya kuwa na shape ya kufa mtu jana walionekana wakihang out maeneo mbalimbali hapa Dar ambapo usiku walikua ufukwe wa Coco Beach. 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI