Thursday, November 27, 2014

MAAJABU YA DUNIA: MSICHANA ATAPIKA PESA,MISUMARI NA VITU VINGINE KIBAO ZIKIWEMO PINI..CHEKI UKIMBIEE

 Msichana mwenye umri wa miaka 19 anayetapika pesa na vyuma.
 Pesa zilizotapikwa na msichana huyo.
 Msichana (katikati)akijiandaa kutapika.
Vipande vya misumari vilivyotapikwa na msichana huyo.
MSICHANA mwenye umri wa miaka 19, ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, anatapika pesa, vyupa, misumari, mayai na pini akiwa kanisani nchini Ghana. 

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI