Tuesday, September 30, 2014

BAADA YA KUPATA TUZO MBILI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MSANII RAY

NI POST ya mwigizaji staa wa Tanzania Ray ‘Vicent Kigosi’ instagram ambayo ni baada ya kupata tuzo mbili juzi ambazo ni Life achievement Award na Best Director.
Ray 2
Ameandika >>> ‘Kila kwenye nia kuna njia, tulivyoanza tulionekana kama wauza sura tu lakini sasa hivi naweza sema kuwa tunayafaidi matunda tuliyoyavumilia kwa muda mrefu sana, naweza kuthubutu kusema kuwa sekta ya bongo movie ndio sekta ya bongo iliyotoa ajira kwa vijana wengi sana kuliko sekta yoyote‘

Ray amemalizia kwa kusema ‘Mungu ibariki bongo movie, Mungu ibariki kazi ya mikono yote’

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI