Monday, June 30, 2014

DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOFANYA MAKAMUZI CALIFORNIA SIKU YA JUMAMOSI

Kushoto ni Balozi wa Heshima, Mhe. Ahmed Issa akiwasili ukumbini hapo akiongozana na wanajumuiya wa California.
 Diamond Platnumz mwanamuziki wa bongo fleva asieshikika sasa hivi ambaye ni maarufu zaidi kwenye wimbo wake wa my number one aliyemshirikisha mwanamuziki mwingine wa Nigeria anayefanya vizuri sasa hivi Davido akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi June 28, 2014.
Ambapo Mgeni wa heshima alikua Mhe. Ahmed Issa ambaye ni Balozi wa Heshima wa Tanzania California.
Mashabiki wa Diamond wakipagawa kwenye showa ya Diamond Platnumz iliyofanyika Los Angeles, California nchini Marekani.

 Diamond Platnumza rais wa Wasafi akifanya vitu vyake.
 Diamond Platnumz akiwachengua mashabiki waliohudhuria showa yake ya California.
 Diamond Platnumz akishambulia jukwaa na kuwapagawisha mashabiki wake wa California nchini Marekani.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI