Sunday, April 13, 2014

DARAJA LA KAWE UKWAMANI NALO LASOMBWA NA MAJI

Mvua kubwa iliyonyesha juzi na jana kwa siku mbili mfululizo imesababisha maafa mengine kwa wakazi wa Kata ya Kawe, ambapo daraja lao nalo limesombwa na maji  ya Mto Mbezi katika Mtaa wa Ukwamani.

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI