Monday, April 22, 2013

BI KIDUDE ''NYOTA ANGAVU ILIYOZIMIKA''

 
Bi Kidude aliefariki dunia wiki iliyopita mjini Zanzibar ikiwa ni mara kadhaa Bibi huyu  ambaye amejipatia sifa na umaarufu ndani na nje ya nchi, (Pichani) amekuwa akizushiwa kifo kutokana na kuugua kwa muda mrefu....

Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi R.I.P..........KIDUDE BINTI BARAKA

Jeneza la bibi likielekea msikiti kwa ajili ya kusaliwa

Mtangazaji Hassan Bond, Fid Q, Diamond Platnumz na Ruge Mutahaba wakiwa msibani nyumbani kwamarehemu bi Kidude, Zanzibar

Msanii Fid Q, Baraka cousin ya Marehemu Bi Kidude na Hassan Bond Mussa (FID Q ndo alikuwa msanii wa kwanza mkubwa kufika msibani kwa bibi)

Ruge mutahaba, Babu Tale and Guru. .......msibani kwa Bi Kidude

Guru G na Mh Bhaa mazikoni

Hassan na Fid Q wakiwa katika picha ya pamoja na familia ya Marehemu Bi Kidude

Sehemu ya umati wa Watu waliofika msibani
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI--AMIN!
Chanzo: mateja20 blog

0 comments:

Post a Comment

ZILIZOSOMWA ZAIDI