Wednesday, October 31, 2012
TUNAENDA SHULE JAMANI!
5:20 AM
No comments
Kamera yetu Mtaani ilifanikiwa kupata picha ya Wanafunzi wa shule ya msingi Mkwalia Kitumbo wilaya ya Mkuranga Mkoani pwani wakilazimika kuvua viatu pindi wanapotaka kuvuka dimbwi la maji, wakiwa wanaelekea shuleni kwao. (Picha na Ochieng Gad Ogweno)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
Muda mfupi baada ya Nicki Minaj kutangaza kupitia Twitter kuwa ameachana na Meek Mill, rapper huyo amemchana demu wake huyo wa zamani kw...
-
Mmoja kati ya wafungwa waliohamishwa kutoka Guantanamo Bay akisalimiana na ndugu zake MAREKANI imewaachia baadhi ya wafungwa wa Yemen ...
-
Q Chief akiwa na Mkurugugenzi wa Qs Mhonda Entertainment Msanii mkongwe wa muziki Q Chief amedai kuwa kuna mambo ambayo anakosea kwenye...
-
KATIKA Exclusive interview na msanii Gabu aka Buganya Wa P Unit kuhusu tetesi za kuvunjika kwa kundi lao mwezi huu, Gabu amesema “Hiz...






0 comments:
Post a Comment