Wednesday, October 31, 2012
TUNAENDA SHULE JAMANI!
5:20 AM
No comments
Kamera yetu Mtaani ilifanikiwa kupata picha ya Wanafunzi wa shule ya msingi Mkwalia Kitumbo wilaya ya Mkuranga Mkoani pwani wakilazimika kuvua viatu pindi wanapotaka kuvuka dimbwi la maji, wakiwa wanaelekea shuleni kwao. (Picha na Ochieng Gad Ogweno)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
VALENTINE'S Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa kila Februari 14 ambapo kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, ...
-
Picha zote hizi zilipigwa kati ya mwaka 2006 na 2007 na zinamwonyesha mwanadada Wema Sepetu, miaka hiyooooo, NI SHIDAAAAH. Tazama picha...
-
Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ akifanya yake stejini kabla ya kuachishwa kazi kwa ulevi uliokithi...
-
HAYUMO katika orodha ya wanamuziki 10 bora waliotengeneza fedha nyingi kwa mwaka 2014, lakini ukweli kwamba amemfunika Jay-Z katika orod...
-
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Villag...






0 comments:
Post a Comment