Wednesday, October 31, 2012
TUNAENDA SHULE JAMANI!
5:20 AM
No comments
Kamera yetu Mtaani ilifanikiwa kupata picha ya Wanafunzi wa shule ya msingi Mkwalia Kitumbo wilaya ya Mkuranga Mkoani pwani wakilazimika kuvua viatu pindi wanapotaka kuvuka dimbwi la maji, wakiwa wanaelekea shuleni kwao. (Picha na Ochieng Gad Ogweno)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ZILIZOSOMWA ZAIDI
-
RAPPER Kanye West ameamriwa na mahakama ya Los Angeles kufanya kazi za jamii kwa kipindi cha masaa 240 na kuwa chini ya kipindi cha mataza...
-
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa, chanjo ya ugonjwa wa Ebola inaweza kuwa tayari kwa kiasi kikubwa mwishoni mwa mwaka huu ili...
-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Alhaj Aliko Dangote wakikata utepe kuashiria kuzindua rasmi kiwanda cha saruji cha Dangote ambacho n...
-
Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi wakati wa hafla iliyoandaliwa na Kampuni ya ...
-
NI wiki zinahesabika toka staa wa bongofleva Nay wa Mitego apate namba mpya ya gari lake inayoendana na ile ambayo amekua a...






0 comments:
Post a Comment