Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya PPF Bwana Ramadhani Kija(watatu kushoto),
na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bwana William Erio(kulia) wakimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kuzindua jengo la kitega uchumi la PPF mjini Mwanza.
Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo.
No comments:
Post a Comment