Chini na juu ni lori la mafuta likiwa limetumbukia eneo la Mbagala.
Hatariiii......
akijitutumua kupita lakini aaaah wapi, safari iliishia hapa.
Hapa ni maeneo ya Kariakoo...
Nje ya maduka ya Kariakoo leo mchana....
Huyu sasa hata sijui alikuwa akielekea wapi huku..
No comments:
Post a Comment